Saturday, June 13, 2009

DADAZ KUINGIA SOKONI HIVI KARIBUNI



Filamu ya kina dada inayoongozwa na Thea inatrajia kuingia sokoni hivi karibuni, katika filamu hiyo kila kitu kimewahusisha kina dada kwa kiasi kikubwa, kuanzia wahusika wakuu, wapiga picha n.k Thea ameahidi kuwa filamu hiyo itakuwa ni moja kati ya filamu kali za kibongo naimeonyesha kuwa kina dada wakipewa nafasi wanaweza kufanya.

Unaowaona kwenye picha ni kina dada watatu waliohusika kwa kiasi kikubwa kwenye filamu hiyo.

imeandaliwa na john joseph haramba
haramba29@yahoo.co.uk

No comments: