Saturday, June 6, 2009

BINGWA WA NGUMI KWA KINADADA



Huyu ndiye bondia mwenye umri mdogo wa Tanzania ambaye ni bingwa wa mchezo huo kwa kina dada,,anaomba kama kuna mwenye uwezo amasaidie kufika mbali katika sanaa hiyo kwa sasa yupo chini ya JAPHET KASEBA akifanya mazoezi ya nguvu, binti anaitwa PENDO


john joseph haramba, haramba29@yahoo.co.uk

No comments: