
Mbongo mwezetu Hasheem Thabit amefanya kweli kwa kufanikiwa kuwa kati ya wachezaji walioijiunga katika ligi ya NBA huko pande flani za kina P.diddy. Mshkaji anastahili pongezi kwakua ameonyesha nia ya kujitumana mwisho wa siku amefanikiwa kufika juu.
Huu ni mfano wa kuigwa na sisi wabongo, tusifikiri kila kitu kinakuja easy lazima ukaze msuri. Hakuna kinachoshindikana jambo la muhimu ni kujua unapoelekea huku ukiwa na lanengo.
BIG UP THABIT KWA KUTUWAKILISHA VYEMA WABONGO
No comments:
Post a Comment