Friday, May 15, 2009

VIOLET AENDA U.S.A



kwaajili ya kupumzika na kuangalia mustakabali mwingine wa maisha yake ya mbeleni.
Akiongea na SAYARI muda mfupi kabla ya kuondoka msanii huyo aliyetamba kwenye filamu za Super Model, Ukungu, Segito, Binti Nusa, The Sins Of My Father na Sikitiko Langu alisema ameamua kuelekea katika nchi hiyo iliyo bara la Amerika baada ya kuitwa na mjoamba wake.
“Kuna matatizo fulani yalijitokeza hivi karibuni najua nikifika huko nitakuwa na muda mzuri wa kupumzika kisha badaya muda ndiyo nitajua nini cha kufanya” alisema Violet

No comments: