
Bwana Misosi hivi sasa yupo mzigoni akishuti video ya Mungu Yuko busy chini ya kampuni ya Visual Lab. Mshkaji amesema anamini video hiyo itakuwa ya ukweli na anaamini itamsudishia heshima yake iliyopotea kwa kipindi kirefu kama jinsi ambavyo wimbo huo unavyotesa kwenye vituo vya redio,
No comments:
Post a Comment