Friday, May 15, 2009

JOHN JOSEPH - OWNER WA MUZIKIMNENE.BLOGSPOT.COM




Mwanashavu jipe mwenyewe ukingoja kungojea sometimes unaweza usilipate, mtu mzima hapo nilikuwa ndani ya Kempiski nikipata moja baridi moja moto.

Kama una coments zozote chek nami kwenye mail yangu: haramba29@yahoo.co.uk

Big up kwa wanangu wote wa mikoani kwa kunipa sapoti TUKO PAMOKO SAAANA

No comments: