Tuesday, September 14, 2010
NIPO BIZE WANAAAAAAAA
Wazeyaaa nipo bize mbaya ndiyo maana nakuwa lesi nakosa hata time ya ku up date blog yangu ila msikonde wanawane maana najua Blog imekuwa kama fasheni pande hizi kwa sasa kila mtu anayo duuu mpaka naona kama vipi nifungue mambo ya WEBSITE..............
EMINEM AKAMUA MBAYAAA
Tuesday, March 23, 2010
MZAMBIA AKIANGALIA MASHABIKI
KIDEDEAAA
Sunday, March 14, 2010
TUKISHUUDIA MTANGANGE
KIKOSI CHA MAUAJI
Tuesday, December 1, 2009
NIMEHAMIA GAZETI LA CHAMPIONI KWA SASA
Mambo vipi wazeyaaaaa nipo kwenye mishe misheza kuhama so sijatulia lakini msikonde baada ya muda fulani kila kitu kitakwenda sawa...kwa sasa sipo tena TANZANIA DAIMA na SAYARI...nimehamia kwa wajanja wa town kwenye gazeti la CHAMPIONI kama vipi nitawajulisha kila kitu kuhusu job yangu mpya....
John Joseph
John Joseph
Saturday, November 21, 2009
RATIBA YA WIKI YA BILICANS
Bilicanas Weekly Program
Wednesdays-
• Ngoma Afrika
• Entrance-5,000 tsh.
• Entertainment- Live Band, Dance Group
Thursdays-
• Ladies Paradise
• Entrance Ladies Free and Gents 5,000 tsh. With 5,000 drink coupon.
• Entertainment- Band + other entertainment.
Fridays-
• Zain Wonders Party
• Entrance 10,000 tsh
• Entertainment-Dancers and Dance Cages, Guest Djs/Competitions- Sexy Street Fashion Show- Extreme Pleasure All Night!!
Saturdays-
• Crazy Saturday Night Live with East Africa
• Entertainment-Live Video Mix- Dance Performance (MJ)-Dance Competitions and Mc Competitions + Dancers and cages. Pure Ecstasy!
• Entrance 10,000 tsh
Sunday-
• Way Back Sundays
• Live Band and Old School Sundays
• Entrance 5,000 tsh
• Entertainment-Live Band, Dj Music.
MWANAMBOKA KUWAONGOZA WENZAKE JUMAPILI HII

Na John Joseph
TAMASHA maalum la watoto linalojulikana kwa jina la Red Ribbon Children's Day linatarajia kufanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee kesho kutwa kwa kushirikisha wanamitindo kadhaa maarufu wa hapa nchini.
Katika taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tanzania Mitindo House (TMH) Khadija Mwanamboka ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, alisema wabunifu hao wameamua kushiriki ili kutoa burudani kwa watoto ili kuwaonyesha jinsi wanavyowajali. Pia alisema watakuwepo wasanii wa muziki wa kiazazi kipya watakaosindikiza shughuli hiyo.
Wanamuziki hao ni Marlaw, Hemed, Profesa Jay, Mo Racka, Matonya, Chid Benz na Quick Rocka ambao watataoa burudani kwa watoto na wengineo watakaofika siku hiyo kushuhudia.
Aidha alitaja wanamitindo wengine watakaokuwepo siku hiyo na kuonyesha ufundi wao wa kucheza muziki ni Mustafa Hassanali, Ally Remtullah, Franko, Zamda George, Farha Sulatan na Asia Idarous atakaecheza ngoma ya kizanzibari itwayo ‘Bomu’.
Pia kutakuwa na mashindano ya kuimba na kucheza na zawadi nyingi zitatolewa kwa watoto. Sehemu ya wadhamini wa tamasha hilo ni Clouds FM, Channel TEN, Entertainment Masters, Profesa Jay Foundation, Tanzania House of Talent (THT), Mokasi Medical System, Cool Blue na Shear Illusion.
MWISHO
Friday, November 20, 2009
MPOKI WA ZE KOMEDI APATA AJALI NA KUVUNJIKA MKONO

Mpoki, mwigizaji maarufu wa kundi la Ze Original Komedy (kulia) amepata ajali ya gari usiku wa kuamkia jana, na inasemekana amevunjika mkono wake wa kushoto ambapo mfupa umeachia.
Habari kutoka ndani ya kundi hilo zinasema hali yake sio mbaya sana na jana aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali ya Kairuki iliyoko mikocheni jijini Dar, na ataendelea na matibabu akiwa nyumbani.
Ajali hiyo ilitokea mikocheni wakati gari alilokuwa anaendesha lilipogongana uso kwa uso na Rav4 iliyokuwa inaendeshwa na mwanamama ambaye naye kalazwa hospitali ya TMJ.
Sunday, November 15, 2009
JOHN JOSEPH HARAMBA NA WADAU TUKIJIACHIA
SEVEN NA SALEH ALLY
ELIZABETH WA BIG BROTHER AKIYARUDI MANGOMA
JK AKIWA NA JD NA G. HABASH
RAIS WA FIFA vs RAIS WA NIGERIA
MWENDO WA MAUZO KWA KWENDA MBELE
KOMBE LA BARCLAYS LIKIWA NA WABONGO
HUZUNI UJERUMANI
Thursday, November 12, 2009
ELIZABETH AKIWASILI BONGO
Sunday, November 1, 2009
MB DOG YUPO NJIA PANDA
UNIQ MODOZZ KUPATIKANA BONGO

MMOJA kati ya wadau wa urembo nchini Taji Liundi ambaye anamiliki mtandao wa komputa wa modotz.blogspot.com, ameandaa shindano la kuwapata wanamitindo chipukizi mchakato utakaofanyika hivi karibuni na kujulikana kwa jina la Uniq Modo.
Akielezea mchakato huo alisema hawatozingatia kimo cha washiriki tofauti na dhana iliyopo kuwa mwanamitindo lazima awe mrefu. “Hata kwa wale ambao hawatabahatika kushinda, tutahakikisha inawajali kwa kuwatafutia kazi mbalimbali za uanamitindo kwa wale watakaoonyesha kuwa na nia ya kujiendeleza kwenye fani hiyo.” alisema
Alifafanua kuwa shindano la Uniq Modo ni mwanzo wa safari ndefu ambayo itafungua njia kwa vijana wengi wenye nia na vipaji vya fani hiyo kuweza kujitangaza kitaifa na kimataifa.
MWISHO
Sunday, October 18, 2009
Nameless na Wahuu kufunika malipo ya ‘COSOTA’ ya Kenya
WANAMUZIKI wa Kenya wameanza kuneemeka kwa kupata faida ya kujiandikisha katika Chama cha Haki Miliki nchini humo (MCSK) kutokana na wengi wao kujiandikisha.
Akielezea hali hiyo mwenyekiti wa MCSK, Habel Kifoto alikiri kuwa kuna wanamuziki ambao wameshaanza kupata malipo yao kutokana na kujiandikisha kwenye utaratibu huo.
“Tutazunguka nchi nzima kuweza kutangaza umuhimu wetu na kila mwanamuziki au kikundi cha muziki kitatakiwa kuopata malipo yake kutoka katika kituo cha karibu pasipo kupata usumbufu wowote” alisema
Kwa mujibu wa habari zisizo thibitishwa Nameless na mkewe Wahu ni nyota wanaotarajiwa kupata mauzo makubwa zaidi.
MSHINDI WA BSS 2009!!!
JOHN JOSEPH HARAMBA NILIKUWEMO PIA
ZITTO KABWE NDANI YA DIAMOND JUBELEE
BEATRICE NDANI YA DIAMOND JUBELEE
SHAA JUKWAANI
CASSIAN AKIKAMUA JUKWAANI
UNAMJUA HUYU!!!!!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)