Tuesday, December 1, 2009

NIMEHAMIA GAZETI LA CHAMPIONI KWA SASA

Mambo vipi wazeyaaaaa nipo kwenye mishe misheza kuhama so sijatulia lakini msikonde baada ya muda fulani kila kitu kitakwenda sawa...kwa sasa sipo tena TANZANIA DAIMA na SAYARI...nimehamia kwa wajanja wa town kwenye gazeti la CHAMPIONI kama vipi nitawajulisha kila kitu kuhusu job yangu mpya....
John Joseph

No comments: