
Hivi ndivyo alivyokuwa miaka ya 1970, unamjua ni nani huyuuuuuuuu!!!!!
Anaitwa Ras Inno. Kwa ni mwanamuziki mkongwe wa Reggae wa hapa nchini ambaye kwa sasa licha ya kuendelea na kazi ya muziki pia ni mwandishi wa makala na kolam mbali mbali katika magazeti ya TANZANIA DAIMA na SAYARI.
No comments:
Post a Comment