
Ras Inno, akipokea tuzo ya 2001 kutoka kwa Jakaya Kikwete aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje enzi hizo ambaye kwa sasa ndiye Presidaa wa Bongo. Katikati ni Hayati Mbamba. Kwa nyuma anayeonekana kwa mbali ni mmoja kati ya waimbaji a kundi la Unique Sister.
Picha kwa hisani ya Ras INNO mwenyewe.. Mzazi endelea kukamia kwa sana tunakuaminia....it me JOHN JOSEPH HARAMBA
No comments:
Post a Comment