Sunday, October 18, 2009

ZITTO KABWE NDANI YA DIAMOND JUBELEE



Mizuka ilimpanda Mbunge wa Kigoma, Mh Zitto Kabwe katika ukumbi wa Diamond Jubelee na akaamua kuinuka kushangilia kama anavyoonekana, mambo yalikuwa sio mchezo ndani ya ukumbi huo.

No comments: