Sunday, November 1, 2009

MB DOG YUPO NJIA PANDA



KUMEKUWA na taarifa kuwa MB Dog aliyejitoa katika kundi la Tip Top CONNECTION yupo njia panda kuhusu kurejea kundini au la kutokana na kuyumba katika kujisimamia kazi zake. Tangu alipotoka kundini mwaka jana hajatoa albamu nyingine tangu ile ya kwanza ya ‘Ratifa’ aliyokuwa chini ya Tip Top.

No comments: