Thursday, November 12, 2009

ELIZABETH AKIWASILI BONGO



Mshiriki wa Tanzania aliyekuwepo kwenye jumba la Big Brother akiwasili kutoka Afrika Kusini alipokuwa akishiriki baada ya kutolewa kwenye kinyang'anyiro hicho wiki iliyopita. Hapa likuwa amemkumbatia mtoto wa mmoja kati ya ndugu zake wealiofika kumpokea uwanja wa ndege

No comments: