
Young Jeezy amekubali mwaliko wa Bil O’Reilly kuweza kutokea kwenye show yake japo mtangzaji huyo aliwaponda Jeezy na Jay Z walipokuwa wakipafom wimbo wa “My President,” ambapo yeye aliwaita kuwa “a rant that offended people” na kusema kuwa hata Obama yawezekan hakufurahishwa na ujumbe wa wimbo huo. Lkini kwa kuonyesha kuwa Young yupo strong kwa kile alichokuwa akikiimba watu hao watakuwa katika show moja wakichati
No comments:
Post a Comment