Msanii wa Bongo Flava, Stopa akiwa ameweka pozi kwaajili ya picha pamoja na DJ Tass wa Radio Magic FM ya Jijini. Stopa ni kati ya wasanii watakao toa shoo ya nguvu kwenye ukumbi wa Dar West uliopo Tabata siku ya Idd Mosi.
Wasanii wegine ni Fid Q, Z Anto, Pingu na wengineo kibao
No comments:
Post a Comment