
Mzee wa Biashara, AY akilonga na waandishi wa habari wakati wa kuelezea juu ya safari yao ya kwenye tuzo za MTV (MAMA) zitzkzofanyika Kenya. AY yupo kwenye kipengere kimoja na JAY Z.
Kipengere cha AY ni
Best Hip Hop
M.I. (Nigeria)
A.Y. (Tanzania)
Zulu Boy (South Africa)
Jay-Z (USA)
Kanye West (USA)
No comments:
Post a Comment