
Hatma ya kundi la Tip Top licha ya kunganisha nguvu na kundi la TMK Family inaonekana kutumba, kutokana na kuendelea kujitoa kwa wasanii katika kundi hilo. Baada ya kujitoa kwa MB Dog, kisha Z Anto na sasa Spark ametangaza kujitoa kwenye kundi hilo.
Swali linalobaki kichwani ni kwanini Spark amejitoa kwenye kundi hilo licha ya kuwa linaonekana kuwapa mafanikio wasanii wengi.
No comments:
Post a Comment