
Baada ya kuwa katika malumbano ya muda mrefu hatimaye wasanii nguli wa Uganda Jose Chamilleone na Bebe Cool wametangaza kutokuwa na beef baina yao, akizungumza na wanahabari Jose amesema sio kwamba walikuwa na beef bali kila mtu alikuwa bize katika imaya yake akitafuta soko la muziki lakini haimaanishi kuwa walikuwa nabeef kati yao. "Bebe ni rafikii yangu tangu kitambo na bado ataendelea kuwa rafiki yangu" alisema Chamellione
No comments:
Post a Comment