Monday, March 9, 2009

MODOZ & JOHN WA MUZIKI MNENE




Hawa ni wana walikutana nami mtumzima wakatamani kuuza sura kwenye blog yangu bila hiyana tukajifotoa kisha nimewauzisha, washkaji waliniambia wanadili na umodo...anyway mimi ni huyo niliyevaa t-shirt ya njano yenye mishari.

No comments: