Kwa jina anajulikana kama Wamboh aka Lonah ni demu anayetokea pande za Kenya akiwa ametua Bongo kwaajili ya kufanya mavituzi kwenye anga za Bongo Flava, so mabibi na mabwana kaeni tayari kumwona kimwana huyu na kumjua zaidi kupitia site yenu ya muziki mnene.
Monday, March 9, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment