Wednesday, March 18, 2009

JUMANNE IDDY AKANA KUUZA GARI LA BSS

Tunda la kwanza la BSS Jumanne Idd amesema gari alilopata kama zaiwadi ya BSS bado animiliki na hana mpango wa kuifanya Tax “Gari huwa ninawapa washkaji zangu sometimes waka-spend so wabongo walipoona hivyo wakajua nimeiweka sokoni, gari ile ni kumbukumbu kubwa kwangu na kwa watoto wangu hapo baadaye” siad J4
Akilonga kupotea kwake kwenye anga za flava anadai bado yupo na anaandaa albam yake ya pili itakayaojulikana kwa jina la "Tawile" ikiwa na mawe kumi.

"Tawile ni shukrani kwa watu wangu walionisaidia kufika hapa nilipo, katika baadhi ya nyimbo ni "Popi", "Mnielezee", "Ole Wako", "Mapenzi Dhahabu", "Mapenzi Matamu".

No comments: