Wednesday, March 18, 2009
NAMELESS KUPIGA KOLABO NA BLUE 3
JUMANNE IDDY AKANA KUUZA GARI LA BSS
Tunda la kwanza la BSS Jumanne Idd amesema gari alilopata kama zaiwadi ya BSS bado animiliki na hana mpango wa kuifanya Tax “Gari huwa ninawapa washkaji zangu sometimes waka-spend so wabongo walipoona hivyo wakajua nimeiweka sokoni, gari ile ni kumbukumbu kubwa kwangu na kwa watoto wangu hapo baadaye” siad J4
Akilonga kupotea kwake kwenye anga za flava anadai bado yupo na anaandaa albam yake ya pili itakayaojulikana kwa jina la "Tawile" ikiwa na mawe kumi.
"Tawile ni shukrani kwa watu wangu walionisaidia kufika hapa nilipo, katika baadhi ya nyimbo ni "Popi", "Mnielezee", "Ole Wako", "Mapenzi Dhahabu", "Mapenzi Matamu".
Akilonga kupotea kwake kwenye anga za flava anadai bado yupo na anaandaa albam yake ya pili itakayaojulikana kwa jina la "Tawile" ikiwa na mawe kumi.
"Tawile ni shukrani kwa watu wangu walionisaidia kufika hapa nilipo, katika baadhi ya nyimbo ni "Popi", "Mnielezee", "Ole Wako", "Mapenzi Dhahabu", "Mapenzi Matamu".
NYAMWELA KUFANYA KAZI NJE YA TWANGA
Mcheza show mkongwe wa bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Hassan Mohamed maarufu kwa jina la Super Nyamwela, amesema baada ya albamu yake ya kwanza aliyoitengeneza nje ya bendi yake kupata mafanikio katika soko la muziki. Anatarajia kuachia albamu yake ya pili ambayo mpaka sasa bado hajajua itaitwaje.
Akizungumzia habari hizo Nyamwela anasema amepanga mpaka kufikia mwezi Aprili mwaka huu awe amekamilisha albamu itakayokuwa na nyimbo sita na kuingia sokoni. “Master On The Temple” ndio jina la albamu yake ya kwanza. Nyamwela amedumu kwenye bendi ya Twanga Pepeta tangu mwaka 2000 akitokea kundi la Billi Bums lililokuwa likifanya show kwenye ukumbi wa Billicanas.
“Sijajua niipe jina gani mpaka sasa ila itakuwa na nyimbo sita ambazo ni ‘Afrika Kilomondo’, ‘Afrika Yetu’, ‘Mama Mwenye Nyumba’, ‘Mwandani’, ‘Manzila’ na ‘Njoo Tu’. Wasanii ambao sauti zao zitasikika katika albamu hiyo ni Isack, Ali Choki, Luiza Mbutu, Bob Ludala, Keysha na Juma Nature.
Akizungumzia habari hizo Nyamwela anasema amepanga mpaka kufikia mwezi Aprili mwaka huu awe amekamilisha albamu itakayokuwa na nyimbo sita na kuingia sokoni. “Master On The Temple” ndio jina la albamu yake ya kwanza. Nyamwela amedumu kwenye bendi ya Twanga Pepeta tangu mwaka 2000 akitokea kundi la Billi Bums lililokuwa likifanya show kwenye ukumbi wa Billicanas.
“Sijajua niipe jina gani mpaka sasa ila itakuwa na nyimbo sita ambazo ni ‘Afrika Kilomondo’, ‘Afrika Yetu’, ‘Mama Mwenye Nyumba’, ‘Mwandani’, ‘Manzila’ na ‘Njoo Tu’. Wasanii ambao sauti zao zitasikika katika albamu hiyo ni Isack, Ali Choki, Luiza Mbutu, Bob Ludala, Keysha na Juma Nature.
ZOLA D APATA TUZO NCHINI KENYA

Baada ya kuona muziki wa Bongo ukimzingua pasipo kupata mafanikio ya anavyotaka msanii wa kufoka foka wa kitanzania Zola D ameamua kuhamishia kazi zake nje ya mipaka ya Tanzania kwa kutafuta soko la nje na kwakuanzia anasema kuwa amepata tuzo kwenye tuzo zinazojulikana kwa jina la Coastal Music Awards (KE) kupitia wimbo wake wa "Hoi" aliyofanya pamoja na Cannibal wa Kenya.
"Bongo nimeona sifanikiwi kivile na ndio maana nimeona bora nielekeze nguvu zangu nje ambako nathaminiwa zaidi kuliko hapa nyumbani, mpaka sasa nimeshatengeneza kazi zaidi ya nane na Cannibal. Na katika kutanua wigo zaidi natarajia kufungua kituo changu cha radio katika nji wa Moshi. kwasasa nina safari ya kuelekeea bara la Ulaya kwanza kisha nikirudi ndio nakamilisha mambo yote yaliyobaki" alinena Zola D
Monday, March 9, 2009
MODOZ & JOHN WA MUZIKI MNENE
KUTOKA KENYA MPAKA BONGO
NO BEEF WITH CHAMELLIONE

Baada ya kuwa katika malumbano ya muda mrefu hatimaye wasanii nguli wa Uganda Jose Chamilleone na Bebe Cool wametangaza kutokuwa na beef baina yao, akizungumza na wanahabari Jose amesema sio kwamba walikuwa na beef bali kila mtu alikuwa bize katika imaya yake akitafuta soko la muziki lakini haimaanishi kuwa walikuwa nabeef kati yao. "Bebe ni rafikii yangu tangu kitambo na bado ataendelea kuwa rafiki yangu" alisema Chamellione
DAYNA KUTOA VIDEO NA MARLAW
Subscribe to:
Posts (Atom)