Saturday, April 25, 2009

MWIZI WA KITI UWANJA WA TAIFA



Kamanda a pilisi kanda maalum ya kipolisi Dar es salaam akimwonyesha kwa waandishi wa habari kijana aliyekamatwa akiiba kiti katika uwanja wa taifa siku ya mpambano baina ya Simba na Yanga..

Duuuu mshkaji noma kweli halafu mbaya zaidi ni dent wa chuo flani hapa mjini,,ngoja nikiifadhi maana isije kuwa taaaabu

No comments: