Hizi ni pande flani za Dar karibu na Rose Garden....Wazeyaaaa mnaikumbuka studio ya MID MAN RECORDS hawajamaa walitamba kipindi flani walipowatengenezea ngoma kundi la TMK NAJITA ile ngoma yao ya TWENDE na nyingine kadhaa lakini baada ya hapo wamepotea kusikojulikana. WAZEYAAA WIPI?????
Thursday, April 2, 2009
MID MAN RECORDS VIPI
Hizi ni pande flani za Dar karibu na Rose Garden....Wazeyaaaa mnaikumbuka studio ya MID MAN RECORDS hawajamaa walitamba kipindi flani walipowatengenezea ngoma kundi la TMK NAJITA ile ngoma yao ya TWENDE na nyingine kadhaa lakini baada ya hapo wamepotea kusikojulikana. WAZEYAAA WIPI?????
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment