Sunday, August 2, 2009

NIMECHILL NA TWINS!!!



Mtu mzima John Joseph hpa nilikuwa na twins niliokutana nao anga flani za Msasani kwenye ofisi ya gazeti la Baab Kubwa. Majina yao sijui lakini nahisi mmoja anaitwa Kulwa na mwingine Doto, au ntakuwa nimekosea nini?

No comments: