
LaMarcus Aldridge (katikati) nyota wa mchezo wa kikapu wa timu ya Portland Trailblazers, akipozi kwa picha na wachezaji wa Chelsea FC, Didier Drogba (kulia) na Petr Cech mara baada ya kubadilishana jezi, juzi katika uwanja wa Cowboys jijini Texas kutakapofanyika mashindano ya nyota wa NBA.